Search engine for discovering works of Art, research articles, and books related to Art and Culture
ShareThis
Javascript must be enabled to continue!

Mapokezi ya Nomino za Kiswahili katika Ngeli za Nomino za Gᴉrᴉmi

View through CrossRef
Ikisiri Lengo la makala hii ni kuonesha jinsi nomino za Kiswahili zinavyokopwa ili kukidhi mawasiliano katika Gᴉrᴉmi. Nomino (majina) ni miongoni mwa maneno yanayokopwa kutokana na umuhimu wake mkubwa katika lugha na mawasiliano kwa ujumla. Umuhimu huo ni kutambulisha watu, vitu, hali na mahali. Gᴉrᴉmi, kutokana na utangamano wake na Kiswahili, kinakopa na kutohoa nomino tofauti kwa lengo la kukidhi mawasiliano kulingana na wakati na mazingira ya kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii yanayoikabili lugha hiyo. Uchambuzi matini na usaili vimeonesha kwamba nomino za Kiswahili zinazokopwa na kupokelewa katika Gᴉrᴉmi ni za ngeli nane ambazo ni MU-/WA-; MU-/MI-; JI-, Ø-/MA-; KI-/VI-; N-/N-; U-/N-; U-/MA-; na KU-, ambapo maumbo ya umoja na wingi, pamoja na sauti huchakatwa kulingana na mfumo lugha wa Gᴉrᴉmi. Hata hivyo, maana ya nomino inayokopwa hubaki ileile kama ilivyo katika lugha iliyokopesha. Kwa hiyo, inapendekezwa uchambuzi wowote wa mapokezi ya maneno uende sambamba na mfumo wa lugha inayokopa.
Walter de Gruyter GmbH
Title: Mapokezi ya Nomino za Kiswahili katika Ngeli za Nomino za Gᴉrᴉmi
Description:
Ikisiri Lengo la makala hii ni kuonesha jinsi nomino za Kiswahili zinavyokopwa ili kukidhi mawasiliano katika Gᴉrᴉmi.
Nomino (majina) ni miongoni mwa maneno yanayokopwa kutokana na umuhimu wake mkubwa katika lugha na mawasiliano kwa ujumla.
Umuhimu huo ni kutambulisha watu, vitu, hali na mahali.
Gᴉrᴉmi, kutokana na utangamano wake na Kiswahili, kinakopa na kutohoa nomino tofauti kwa lengo la kukidhi mawasiliano kulingana na wakati na mazingira ya kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii yanayoikabili lugha hiyo.
Uchambuzi matini na usaili vimeonesha kwamba nomino za Kiswahili zinazokopwa na kupokelewa katika Gᴉrᴉmi ni za ngeli nane ambazo ni MU-/WA-; MU-/MI-; JI-, Ø-/MA-; KI-/VI-; N-/N-; U-/N-; U-/MA-; na KU-, ambapo maumbo ya umoja na wingi, pamoja na sauti huchakatwa kulingana na mfumo lugha wa Gᴉrᴉmi.
Hata hivyo, maana ya nomino inayokopwa hubaki ileile kama ilivyo katika lugha iliyokopesha.
Kwa hiyo, inapendekezwa uchambuzi wowote wa mapokezi ya maneno uende sambamba na mfumo wa lugha inayokopa.

Related Results

Uambikaji wa Viambishi Ngeli katika Nomino Sahili Zinazorejelea Ndugu na Maana yake katika Sarufi ya Kiswahili
Uambikaji wa Viambishi Ngeli katika Nomino Sahili Zinazorejelea Ndugu na Maana yake katika Sarufi ya Kiswahili
Nomino sahili ni maneno ambayo kimofolojia yameundwa na mofu huru moja. Pia, kisematiki, maneno haya yana maana zake katika kamusi. Licha ya kuwa na sifa hizi, uambikaji wa viambis...
Ushairi WA Kiganda Unavyoweza Kuchangia Na Kuendeleza Ushairi WA Kiswahili Kimtindo Na Kimaudhui: Mfano WA Ufundishaji Nchini Uganda
Ushairi WA Kiganda Unavyoweza Kuchangia Na Kuendeleza Ushairi WA Kiswahili Kimtindo Na Kimaudhui: Mfano WA Ufundishaji Nchini Uganda
Wanafunzi wengi nchini Uganda wanachukulia utanzu wa ushairi wa Kiswahili kuwa mgumu na wanapata ugumu katika kujifunza ushairi wa Kiswahili. Ushairi wa Kiganda umekuwa unatendwa v...
Mabadiliko katika Mtaala wa Elimu ya Msingi na Namna Yanavyoathiri Tathmini katika Elimu ya Juu
Mabadiliko katika Mtaala wa Elimu ya Msingi na Namna Yanavyoathiri Tathmini katika Elimu ya Juu
Makala haya yamekusudia kuchunguza namna ambavyo mabadiliko katika mtaala wa elimu ya msingi yanavyoathiri tathmini katika elimu ya juu. Mabadiliko ya mtaala yanafanyika katika nga...
Jinsi Masuala ya Kijinsia Yalivyo Shughulikiwa Katika Tamthilia ya ‘Bembea ya Maisha’ kwa Kuzingatia Jinsia ya Mwandishi
Jinsi Masuala ya Kijinsia Yalivyo Shughulikiwa Katika Tamthilia ya ‘Bembea ya Maisha’ kwa Kuzingatia Jinsia ya Mwandishi
Maumbile ya binadamu yamechukua mikondo miwili; mwanamume na mwanamke. Jamii tofauti hutoa majukumu kwa kuzingatia migao hii miwili. Hivi ni kusema kuwa, shughuli za mtu katika jam...
Athari ya Mitindo Mbalimbali ya Breili katika Unukuzi wa Maandishi ya Breili ya Kiswahili
Athari ya Mitindo Mbalimbali ya Breili katika Unukuzi wa Maandishi ya Breili ya Kiswahili
Utafiti huu ulinuia kuchanganua usahihi wa unukuzi wa maandishi ya breili hadi maandishi ya kawaida na kinyume chake, ili kuleta maana iliyokusudiwa. Katika kutimiza lengo hilo, ut...
Mchango wa Mikakati ya Upole Katika Mazungumzo ya ibada ya Mazishi katika Lugha ya Kikabrasi
Mchango wa Mikakati ya Upole Katika Mazungumzo ya ibada ya Mazishi katika Lugha ya Kikabrasi
Swahili Suala la upole limetafitiwa na wasomi wengi kwenye mawasiliano, ikiwemo mazungumzo ya abiria na wahudumu wa magari ya uchukuzi kwa lugha ya Kikamba. Hata hivyo, utafiti huu...
Mikakati ya Urekebu wa Kiswahili kama Lugha Rasmi Nchini Kenya
Mikakati ya Urekebu wa Kiswahili kama Lugha Rasmi Nchini Kenya
Makala haya yanajadili jinsi Kiswahili kilivyokubalika kama lugha rasmi nchini Kenya baada ya kuidhinishwa kwa Katiba ya 2010, na maswali yaliyoibuka kuhusu uwezo wake katika mawas...
Matumizi ya Lugha Kwenye Malezi ya Watoto: Mfano wa Matumizi ya Semi Katika Jamii ya Wamasaaba Nchini Uganda
Matumizi ya Lugha Kwenye Malezi ya Watoto: Mfano wa Matumizi ya Semi Katika Jamii ya Wamasaaba Nchini Uganda
Katika makala haya, mtafiti anaeleza jinsi lugha inavyotumiwa na wazazi katika shughuli yao ya kulea watoto. Alifanya hivyo kwa kurejelea malezi ya watoto katika jamii ya Wamasaaba...

Back to Top